Nehemia 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+ Nehemia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:1 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,2/2016, uku. 3
8 Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+