1 Wafalme 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akaendelea kujenga ua wa ndani+ kwa mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mwerezi. 1 Wafalme 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao ua mkuu kuuzunguka ulikuwa na mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mierezi; na vivyo hivyo pia kwa ajili ya ua wa ndani+ wa nyumba+ ya Yehova, na kwa ajili ya ukumbi+ wa nyumba. 2 Mambo ya Nyakati 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha akatengeneza ua+ wa makuhani+ na ule ua mkuu na milango ya ule ua,+ akaifunika milango yake kwa shaba. 2 Mambo ya Nyakati 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na la Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova+ mbele ya ule ua mpya,+
36 Naye akaendelea kujenga ua wa ndani+ kwa mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mwerezi.
12 Nao ua mkuu kuuzunguka ulikuwa na mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mierezi; na vivyo hivyo pia kwa ajili ya ua wa ndani+ wa nyumba+ ya Yehova, na kwa ajili ya ukumbi+ wa nyumba.
9 Kisha akatengeneza ua+ wa makuhani+ na ule ua mkuu na milango ya ule ua,+ akaifunika milango yake kwa shaba.
5 Ndipo Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na la Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova+ mbele ya ule ua mpya,+