-
2 Mambo ya Nyakati 7:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha Sulemani akatakasa+ sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa sababu alitolea hapo yale matoleo ya kuteketezwa+ na vile vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika, kwa maana madhabahu ya shaba+ ambayo Sulemani alikuwa ametengeneza haikuweza kutoshea toleo la kuteketezwa na toleo la nafaka+ na vipande vya mafuta.+
-