-
2 Mambo ya Nyakati 7:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha Sulemani akatakasa sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa maana alipaswa kutolea mahali hapo dhabihu za kuteketezwa+ na vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika, kwa sababu madhabahu ya shaba+ ambayo Sulemani alikuwa amejenga haingeweza kutoshea dhabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka,+ na vipande vya mafuta.+
-