Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 nawe utaweka ua+ kuzunguka pande zote na kuweka kile kisitiri+ cha lango la ua.

  • 1 Wafalme 6:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Naye akaendelea kujenga ua wa ndani+ kwa mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mwerezi.

  • 1 Wafalme 8:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Siku hiyo mfalme alilazimika kutakasa sehemu ya katikati ya ua ulio mbele ya nyumba ya Yehova,+ kwa sababu ilimpasa atoe hapo dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka na vipande vyenye mafuta vya dhabihu za ushirika; kwa maana ile madhabahu ya shaba+ iliyoko mbele za Yehova ilikuwa ndogo mno isiweze kuchukua ile dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka na vipande vya mafuta+ vya dhabihu za ushirika.

  • Zaburi 84:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko.+

      Nimechagua kusimama mlangoni pa nyumba ya Mungu wangu+

      Badala ya kuzunguka katika mahema ya uovu.+

  • Zaburi 92:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wale ambao wamepandwa katika nyumba ya Yehova,+

      Katika nyua za Mungu wetu,+ watachanuka.

  • Zaburi 100:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ingieni katika malango yake mkiwa na shukrani,+

      Katika nyua zake mkiwa na sifa.+

      Mtoleeni shukrani, libarikini jina lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki