Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitakutimizia nadhiri zangu.+ Zaburi 116:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitakutolea wewe dhabihu ya kutoa shukrani,+Nami nitaliitia jina la Yehova.+ Zaburi 122:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Miguu yetu ilisimama+Ndani ya malango yako, Ee Yerusalemu.+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+