18 Nacho kisitiri cha lango la ua kilikuwa kazi ya mfumaji, cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa,+ na urefu wake ulikuwa mikono 20, nacho kimo kotekote kilikuwa mikono 5 sawasawa na mapazia ya ua.+