-
Kutoka 38:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Na nguzo zake nne na vikalio vyake vinne vilikuwa vya shaba. Misumari yake ilikuwa ya fedha na utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha.
-