16 “Na kwa ajili ya lango la ua kutakuwa na kisitiri chenye urefu wa mikono 20, cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji,+ nguzo zake zikiwa 4 na vikalio vyake 4.+