Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+ Zaburi 43:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitakuja kwenye madhabahu ya Mungu,+Kwa Mungu, ambaye ni kushangilia kwangu kwa furaha.+Nami nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.+ Luka 2:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Basi, baada ya siku tatu wakampata katika hekalu,+ ameketi katikati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
4 Nimemwomba Yehova jambo moja+—Ndilo nitakalolitafuta,+Kwamba nipate kukaa katika nyumba ya Yehova siku zote za maisha yangu,+Ili kuuona uzuri wa Yehova+Na kulitazama kwa uthamini hekalu lake.+
4 Nami nitakuja kwenye madhabahu ya Mungu,+Kwa Mungu, ambaye ni kushangilia kwangu kwa furaha.+Nami nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.+
46 Basi, baada ya siku tatu wakampata katika hekalu,+ ameketi katikati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.