16 Basi watu wakaenda kuleta matawi hayo ili kujijengea vibanda, kila mtu juu ya paa lake, na pia katika nyua zao, na katika nyua za nyumba ya Mungu wa kweli,+ na katika uwanja wa jiji wa Lango la Maji,+ na katika uwanja wa jiji wa Lango la Efraimu.+