Nehemia 3:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Eliashibu+ kuhani mkuu na ndugu zake, makuhani, wakaondoka na kujenga Lango la Kondoo.+ Wao wenyewe walilitakasa+ na kuisimamisha milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ mpaka Mnara wa Hananeli.+
3 Naye Eliashibu+ kuhani mkuu na ndugu zake, makuhani, wakaondoka na kujenga Lango la Kondoo.+ Wao wenyewe walilitakasa+ na kuisimamisha milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ mpaka Mnara wa Hananeli.+