Nehemia 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeshua akamzaa Yoyakimu, na Yoyakimu+ akamzaa Eliashibu,+ na Eliashibu akamzaa Yoyada.+ Nehemia 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi kabla ya hayo, Eliashibu+ kuhani aliyesimamia jumba la kulia chakula+ la nyumba ya Mungu wetu alikuwa mtu wa jamaa ya Tobia;+ Nehemia 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa Eliashibu+ kuhani mkuu alikuwa mwana-mkwe wa Sanbalati+ Mhoroni.+ Kwa hiyo nikamfukuza atoke kwangu.+
4 Basi kabla ya hayo, Eliashibu+ kuhani aliyesimamia jumba la kulia chakula+ la nyumba ya Mungu wetu alikuwa mtu wa jamaa ya Tobia;+
28 Na mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa Eliashibu+ kuhani mkuu alikuwa mwana-mkwe wa Sanbalati+ Mhoroni.+ Kwa hiyo nikamfukuza atoke kwangu.+