Nehemia 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Eliashibu+ kuhani mkuu na ndugu zake, makuhani, wakaondoka na kujenga Lango la Kondoo.+ Wao wenyewe walilitakasa+ na kuisimamisha milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ mpaka Mnara wa Hananeli.+ Nehemia 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi kabla ya hayo, Eliashibu+ kuhani aliyesimamia jumba la kulia chakula+ la nyumba ya Mungu wetu alikuwa mtu wa jamaa ya Tobia;+
3 Naye Eliashibu+ kuhani mkuu na ndugu zake, makuhani, wakaondoka na kujenga Lango la Kondoo.+ Wao wenyewe walilitakasa+ na kuisimamisha milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ mpaka Mnara wa Hananeli.+
4 Basi kabla ya hayo, Eliashibu+ kuhani aliyesimamia jumba la kulia chakula+ la nyumba ya Mungu wetu alikuwa mtu wa jamaa ya Tobia;+