10 Wakati Sanbalati+ Mhoroni+ na Tobia+ yule mtumishi, Mwamoni,+ waliposikia jambo hilo, ndipo likaonekana kuwa baya sana+ kwao kwamba mtu fulani amekuja kuwatafutia mema wana wa Israeli.
14 Wakumbuke+ Tobia+ na Sanbalati, Ee Mungu wangu, kulingana na matendo hayo ya kila mmoja wao, na pia Noadia nabii wa kike+ na wale manabii wengine walioendelea kujaribu kunitia woga.