Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wakati Sanbalati+ Mhoroni+ na Tobia+ yule mtumishi, Mwamoni,+ waliposikia jambo hilo, ndipo likaonekana kuwa baya sana+ kwao kwamba mtu fulani amekuja kuwatafutia mema wana wa Israeli.

  • Nehemia 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ aliposikia tunajenga upya ukuta, alikasirika+ na kuudhika sana, naye akazidi kuwadhihaki+ Wayahudi.

  • Nehemia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wakumbuke+ Tobia+ na Sanbalati, Ee Mungu wangu, kulingana na matendo hayo ya kila mmoja wao, na pia Noadia nabii wa kike+ na wale manabii wengine walioendelea kujaribu kunitia woga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki