14 Wakumbuke+ Tobia+ na Sanbalati, Ee Mungu wangu, kulingana na matendo hayo ya kila mmoja wao, na pia Noadia nabii wa kike+ na wale manabii wengine walioendelea kujaribu kunitia woga.
7 Kisha nikaja Yerusalemu nami nikauona ubaya ambao Eliashibu+ alikuwa amefanya kwa ajili ya Tobia+ kwa kumtengenezea jumba katika ua wa nyumba+ ya Mungu wa kweli.