10 Wakati Sanbalati+ Mhoroni+ na Tobia+ yule mtumishi, Mwamoni,+ waliposikia jambo hilo, ndipo likaonekana kuwa baya sana+ kwao kwamba mtu fulani amekuja kuwatafutia mema wana wa Israeli.
7 Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Waarabu+ na Waamoni+ na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu imesonga mbele, kwa maana mashimo yalikuwa yameanza kuzibwa, wakakasirika sana.