19 Basi, wakati Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ yule mtumishi,+ Mwamoni,+ na Geshemu+ Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Ni nini hili mnalofanya? Je, mnamwasi mfalme?”+
2 Sanbalati na Geshemu wakanitumia neno mara moja, wakisema: “Njoo, tukutane+ pamoja kwa mapatano katika vijiji vya nchi tambarare ya bondeni ya Ono.”+ Lakini walikuwa wanapanga kuniumiza.+