10 Wakati Sanbalati+ Mhoroni+ na Tobia+ yule mtumishi, Mwamoni,+ waliposikia jambo hilo, ndipo likaonekana kuwa baya sana+ kwao kwamba mtu fulani amekuja kuwatafutia mema wana wa Israeli.
6Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Geshemu+ Mwarabu+ na wale adui zetu wengine walipoambiwa kuwa nimejenga upya ukuta+ na kwamba hakuna shimo lolote limebaki ndani yake (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeisimamisha milango+ katika malango),+