3 nayo ikashuka kwenda magharibi hadi kwenye mpaka wa Wayafleti hadi kwenye mpaka wa Beth-horoni+ ya Chini na Gezeri,+ na mwisho wake ukawa kwenye bahari.+
5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+