16 Basi watu wakaenda na kuleta majani hayo na kujijengea vibanda, kila mmoja juu ya paa+ yake mwenyewe na katika nyua zao na katika nyua+ za nyumba ya Mungu wa kweli na katika kiwanja cha watu wote+ cha Lango la Maji+ na katika kiwanja cha watu wote cha Lango la Efraimu.+