Yoshua 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi wakafanya hivyo, wakawatoa hao wafalme watano ndani ya pango, wakawaleta kwake, mfalme wa Yerusalemu,+ mfalme wa Hebroni,+ mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,+ mfalme wa Egloni.+
23 Basi wakafanya hivyo, wakawatoa hao wafalme watano ndani ya pango, wakawaleta kwake, mfalme wa Yerusalemu,+ mfalme wa Hebroni,+ mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,+ mfalme wa Egloni.+