2 Wafalme 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila. 2 Wafalme 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Shalumu mwana wa Yabeshi akapanga hila+ juu yake, akampiga+ katika Ibleamu,+ akamuua, akaanza kutawala mahali pake. 2 Wafalme 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwishowe watumishi wa Amoni wakampangia hila na kumuua+ mfalme ndani ya nyumba yake mwenyewe.
20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila.
10 Ndipo Shalumu mwana wa Yabeshi akapanga hila+ juu yake, akampiga+ katika Ibleamu,+ akamuua, akaanza kutawala mahali pake.