Ayubu 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye ameniweka kuwa neno la kimethali+ la vikundi vya watu,Hivi kwamba ninakuwa mtu ambaye uso wake ni wa kutemewa mate.+ Zaburi 88:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+
6 Naye ameniweka kuwa neno la kimethali+ la vikundi vya watu,Hivi kwamba ninakuwa mtu ambaye uso wake ni wa kutemewa mate.+
8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+