Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndugu zangu amewaweka mbali sana nami,+

      Na wale wanaonijua hata wamejitenga nami.

  • Ayubu 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Watu wote wa kikundi cha rafiki zangu wananichukia,+

      Na wale ambao nimewapenda wamenigeuka.+

  • Zaburi 31:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+

      Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+

      Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+

      Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+

  • Zaburi 142:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tazama kwenye mkono wa kuume uone

      Kwamba hakuna yeyote anayenitambua mimi.+

      Mahali pangu pa kukimbilia pameangamia;+

      Hakuna yeyote anayeuliza habari za nafsi yangu.+

  • Luka 23:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Zaidi ya hayo, wale wote waliojuana naye walikuwa wamesimama umbali fulani.+ Pia, wanawake, waliokuwa wamemfuata pamoja kutoka Galilaya, walikuwa wamesimama wakiona mambo haya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki