Ayubu 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndugu zangu amewaweka mbali sana nami,+Na wale wanaonijua hata wamejitenga nami. Ayubu 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Watu wote wa kikundi cha rafiki zangu wananichukia,+Na wale ambao nimewapenda wamenigeuka.+ Zaburi 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+ Zaburi 142:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama kwenye mkono wa kuume uoneKwamba hakuna yeyote anayenitambua mimi.+Mahali pangu pa kukimbilia pameangamia;+Hakuna yeyote anayeuliza habari za nafsi yangu.+ Luka 23:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Zaidi ya hayo, wale wote waliojuana naye walikuwa wamesimama umbali fulani.+ Pia, wanawake, waliokuwa wamemfuata pamoja kutoka Galilaya, walikuwa wamesimama wakiona mambo haya.+
11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+
4 Tazama kwenye mkono wa kuume uoneKwamba hakuna yeyote anayenitambua mimi.+Mahali pangu pa kukimbilia pameangamia;+Hakuna yeyote anayeuliza habari za nafsi yangu.+
49 Zaidi ya hayo, wale wote waliojuana naye walikuwa wamesimama umbali fulani.+ Pia, wanawake, waliokuwa wamemfuata pamoja kutoka Galilaya, walikuwa wamesimama wakiona mambo haya.+