Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Methali 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwana anayetenda kwa ufahamu anakusanya wakati wa kiangazi; mwana anayetenda kwa aibu analala usingizi mzito wakati wa mavuno.+ Methali 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtumishi anayeonyesha ufahamu atamtawala mwana anayetenda kwa aibu,+ na kati ya ndugu atapata sehemu ya urithi.+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
5 Mwana anayetenda kwa ufahamu anakusanya wakati wa kiangazi; mwana anayetenda kwa aibu analala usingizi mzito wakati wa mavuno.+
2 Mtumishi anayeonyesha ufahamu atamtawala mwana anayetenda kwa aibu,+ na kati ya ndugu atapata sehemu ya urithi.+