Methali 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwana anayetenda kwa ufahamu anakusanya wakati wa kiangazi; mwana anayetenda kwa aibu analala usingizi mzito wakati wa mavuno.+ Methali 14:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+
5 Mwana anayetenda kwa ufahamu anakusanya wakati wa kiangazi; mwana anayetenda kwa aibu analala usingizi mzito wakati wa mavuno.+
35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+