Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Basi Daudi, akiwa na kombeo na jiwe, akawa mwenye nguvu zaidi kuliko yule Mfilisti, akampiga Mfilisti na kumuua; na hakuna upanga uliokuwa mkononi mwa Daudi.+

  • 1 Samweli 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:

      “Sauli amepiga maelfu yake,

      Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+

  • 1 Samweli 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alitia nafsi yake mkononi mwake,+ na kumpiga yule Mfilisti,+ hivi kwamba Yehova akatimiza wokovu+ mkubwa kwa ajili ya Israeli wote. Wewe uliona jambo hilo, ukaanza kushangilia. Basi kwa nini utende dhambi juu ya damu isiyo na hatia kwa kumfanya Daudi auawe+ bila sababu?”+

  • 2 Samweli 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Daudi akafanya hivyo, kama Yehova alivyokuwa amemwamuru,+ naye akawapiga+ Wafilisti kutoka Geba+ mpaka Gezeri.+

  • 2 Samweli 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati Siria ya Damasko+ walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, ndipo Daudi akapiga watu 22,000 kati ya Wasiria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki