24 Naye akazidi kukusanya watu upande wake, akawa mkuu wa kikundi cha waporaji, Daudi alipowaua watu wa Soba.+ Basi wakaenda Damasko,+ wakaanza kukaa humo na kuanza kutawala katika Damasko.
8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko, na kichwa cha Damasko ni Resini; na katika muda wa miaka 65 tu Efraimu itavunjwa vipande-vipande ili isiwe kikundi cha watu.+