1 Samweli 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao watumishi wa Akishi wakaanza kumwambia: “Je, huyu si Daudi mfalme+ wa ile nchi? Je, haikuwa kwa huyu ambaye waliendelea kuitikia kwa kucheza dansi,+ wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, Na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+ 1 Samweli 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, huyu si Daudi ambaye waliendelea kuitikia katika kucheza dansi, wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+ Methali 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kung’aa kwa macho+ hufanya moyo ushangilie;+ habari+ ambayo ni njema huifanya mifupa inone.+
11 Nao watumishi wa Akishi wakaanza kumwambia: “Je, huyu si Daudi mfalme+ wa ile nchi? Je, haikuwa kwa huyu ambaye waliendelea kuitikia kwa kucheza dansi,+ wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, Na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+
5 Je, huyu si Daudi ambaye waliendelea kuitikia katika kucheza dansi, wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+