1 Samweli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:“Sauli amepiga maelfu yake,Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+ 1 Samweli 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao watumishi wa Akishi wakaanza kumwambia: “Je, huyu si Daudi mfalme+ wa ile nchi? Je, haikuwa kwa huyu ambaye waliendelea kuitikia kwa kucheza dansi,+ wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, Na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+
7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:“Sauli amepiga maelfu yake,Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+
11 Nao watumishi wa Akishi wakaanza kumwambia: “Je, huyu si Daudi mfalme+ wa ile nchi? Je, haikuwa kwa huyu ambaye waliendelea kuitikia kwa kucheza dansi,+ wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, Na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+