1 Samweli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:“Sauli amepiga maelfu yake,Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+ 1 Samweli 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, huyu si Daudi ambaye waliendelea kuitikia katika kucheza dansi, wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+
7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:“Sauli amepiga maelfu yake,Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+
5 Je, huyu si Daudi ambaye waliendelea kuitikia katika kucheza dansi, wakisema, ‘Sauli amepiga maelfu yake, na Daudi makumi ya maelfu yake’?”+