1 Samweli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanawake hao waliokuwa wakisherehekea walikuwa wakiimba hivi: “Sauli ameua maelfu yake,Na Daudi makumi yake ya maelfu.”+
7 Wanawake hao waliokuwa wakisherehekea walikuwa wakiimba hivi: “Sauli ameua maelfu yake,Na Daudi makumi yake ya maelfu.”+