Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na baada yake kukawa na Shamgari+ mwana wa Anathi, naye akawapiga Wafilisti,+ wanaume mia sita, kwa mchokoo wa ng’ombe; naye pia akawaokoa Israeli.+

  • Waamuzi 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akaona mfupa mbichi wa taya ya punda-dume, akanyoosha mkono wake akauchukua, akapiga nao watu elfu moja.+

  • 1 Samweli 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na ikawa katika siku ya pigano kwamba haukuonekana upanga+ wala mkuki mkononi mwa mtu yeyote aliyekuwa pamoja na Sauli na Yonathani; lakini kukapatikana mmoja uliokuwa wa Sauli+ na wa Yonathani mwana wake.

  • 1 Samweli 17:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki