31 Na baada yake kukawa na Shamgari+ mwana wa Anathi, naye akawapiga Wafilisti,+ wanaume mia sita, kwa mchokoo wa ng’ombe; naye pia akawaokoa Israeli.+
22 Na ikawa katika siku ya pigano kwamba haukuonekana upanga+ wala mkuki mkononi mwa mtu yeyote aliyekuwa pamoja na Sauli na Yonathani; lakini kukapatikana mmoja uliokuwa wa Sauli+ na wa Yonathani mwana wake.