19 Basi hakuonekana fundi wa chuma yeyote katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walikuwa wamesema: “Ili Waebrania wasitengeneze upanga wala mkuki.”+
22 Na ikawa katika siku ya pigano kwamba haukuonekana upanga+ wala mkuki mkononi mwa mtu yeyote aliyekuwa pamoja na Sauli na Yonathani; lakini kukapatikana mmoja uliokuwa wa Sauli+ na wa Yonathani mwana wake.
50 Basi Daudi, akiwa na kombeo na jiwe, akawa mwenye nguvu zaidi kuliko yule Mfilisti, akampiga Mfilisti na kumuua; na hakuna upanga uliokuwa mkononi mwa Daudi.+