Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo vile vikosi vitatu vikapiga baragumu+ na kuivunja-vunja ile mitungi mikubwa na kuchukua tena ile mienge kwa mkono wao wa kushoto na zile baragumu katika mkono wao wa kuume ili kuzipiga, nao wakaanza kupaaza sauti: “Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!”

  • 1 Samweli 17:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+

  • 1 Samweli 17:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Basi Daudi, akiwa na kombeo na jiwe, akawa mwenye nguvu zaidi kuliko yule Mfilisti, akampiga Mfilisti na kumuua; na hakuna upanga uliokuwa mkononi mwa Daudi.+

  • Zaburi 44:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+

      Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+

      Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,

      Kwa sababu ulipendezwa nao.+

  • Zekaria 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki