Waamuzi 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo vile vikosi vitatu vikapiga pembe* na kuivunjavunja ile mitungi mikubwa. Wakashika mienge kwa mikono ya kushoto na zile pembe kwa mikono ya kulia na kuzipiga, wakipaza sauti, “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:20 w97 10/1 31 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:20 Mnara wa Mlinzi,10/1/1997, uku. 31
20 Ndipo vile vikosi vitatu vikapiga pembe* na kuivunjavunja ile mitungi mikubwa. Wakashika mienge kwa mikono ya kushoto na zile pembe kwa mikono ya kulia na kuzipiga, wakipaza sauti, “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!”