4 Na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume, mbele ya hilo Sanduku, na siku ya saba mpige mwendo kuzunguka jiji mara saba, nao makuhani wazipige pembe.+
18 Nitakapokuwa nimekwisha kupiga baragumu, mimi na wote walio pamoja nami, ninyi pia zipigeni baragumu, kuizunguka kambi yote,+ nanyi mseme, ‘Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!’”