1 Samweli 17:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+ 2 Mambo ya Nyakati 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hamtahitaji kupigana+ katika kisa hiki. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ mkauone wokovu+ wa Yehova kwa ajili yenu. Ee Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msiwe na hofu.+ Kesho waendeeni, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+
47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+
17 Hamtahitaji kupigana+ katika kisa hiki. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ mkauone wokovu+ wa Yehova kwa ajili yenu. Ee Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msiwe na hofu.+ Kesho waendeeni, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+