Isaya 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mkirudi na kupumzika mtaokolewa. Nguvu zenu zitakuwa tu katika kukaa bila usumbufu na katika kutegemea.”+ Lakini hamkutaka.+ Maombolezo 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni jambo jema kwa mtu kuungojea,+ ndiyo, kimyakimya,+ wokovu wa Yehova.+
15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mkirudi na kupumzika mtaokolewa. Nguvu zenu zitakuwa tu katika kukaa bila usumbufu na katika kutegemea.”+ Lakini hamkutaka.+