Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 44:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Kuhusu lile neno ambalo umetuambia katika jina la Yehova, sisi hatutakusikiliza;+

  • Mathayo 23:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+​—⁠ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki