9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+
16 Yehova amesema hivi: “Simameni tuli katika njia, na kuona, na kuuliza juu ya barabara za zamani za kale, mahali ambapo sasa pana njia nzuri;+ na mtembee ndani yake,+ na kustarehesha nafsi zenu.”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutatembea.”+