Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu mwovu ameufanya uso wake kuwa mgumu,+ lakini mtu mnyoofu ndiye atakayefanya njia zake imara.+

  • Isaya 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+

  • Yeremia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova amesema hivi: “Simameni tuli katika njia, na kuona, na kuuliza juu ya barabara za zamani za kale, mahali ambapo sasa pana njia nzuri;+ na mtembee ndani yake,+ na kustarehesha nafsi zenu.”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutatembea.”+

  • Yeremia 44:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini hawakusikiliza,+ wala hawakutega sikio lao ili kurudi kutoka katika ubaya wao kwa kutoifukizia miungu mingine moshi wa dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki