Zaburi 73:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo majivuno yamekuwa mkufu shingoni pao;+Jeuri huwafunika kama vazi.+ Methali 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yamekwezwa kama nini! na ambao macho yao yenye kung’aa yameinuliwa.+ 1 Timotheo 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+
13 Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yamekwezwa kama nini! na ambao macho yao yenye kung’aa yameinuliwa.+
24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+