Zaburi 109:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akavikwa laana kuwa vazi lake.+Kwa hiyo ikaja kama maji katikati yake+Na kama mafuta ndani ya mifupa yake. Methali 3:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri,+ wala kuchagua yoyote kati ya njia zake.+ Yakobo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mmemhukumia hatia, mmemuua mwadilifu. Je, yeye hawapingi ninyi?+
18 Naye akavikwa laana kuwa vazi lake.+Kwa hiyo ikaja kama maji katikati yake+Na kama mafuta ndani ya mifupa yake.