2 Mambo ya Nyakati 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwishowe wakapanga hila juu yake,+ wakampiga kwa mawe+ kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya Yehova. Yohana 8:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Kwa hiyo wakaokota mawe wamtupie;+ lakini Yesu akajificha na kutoka hekaluni. 1 Wathesalonike 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,
21 Mwishowe wakapanga hila juu yake,+ wakampiga kwa mawe+ kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya Yehova.
15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,