8 Na Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako. Yeye mwenyewe ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha kabisa. Usiogope wala usiingiwe na hofu.”+
25 Tena Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msiingiwe na hofu.+ Iweni hodari na wenye nguvu, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea adui zenu wote ambao mnapigana vita nao.”+