Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+

  • Kutoka 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+

      Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+

  • 1 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye Hana akasali+ na kusema:

      “Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+

      Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+

      Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,

      Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+

  • 1 Samweli 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, Sauli akasema: “Mtu yeyote asiuawe leo,+ kwa maana leo Yehova ametimiza wokovu katika Israeli.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwimbieni Yehova, enyi nyote wa dunia!+

      Tangazeni siku baada ya siku wokovu anaotoa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki