Kutoka 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+ Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+ 1 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+ 1 Samweli 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, Sauli akasema: “Mtu yeyote asiuawe leo,+ kwa maana leo Yehova ametimiza wokovu katika Israeli.”+ 1 Mambo ya Nyakati 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwimbieni Yehova, enyi nyote wa dunia!+Tangazeni siku baada ya siku wokovu anaotoa!+
13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+
2 Naye Hana akasali+ na kusema:“Moyo wangu unafurahi katika Yehova,+Pembe yangu kweli imeinuliwa katika Yehova.+Kinywa changu kimepanuliwa juu ya adui zangu,Kwa maana ninashangilia katika wokovu kutoka kwako.+
13 Hata hivyo, Sauli akasema: “Mtu yeyote asiuawe leo,+ kwa maana leo Yehova ametimiza wokovu katika Israeli.”+