2 Samweli 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yehova anaishi;+ na abarikiwe Mwamba wangu;+Na Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+ Zaburi 99:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtukuzeni Yehova Mungu wetu+ na kuinama chini penye kiti cha miguu yake;+Yeye ni mtakatifu.+ Isaya 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu.+ Ninakutukuza,+ ninalisifu jina lako,+ kwa maana umetenda mambo ya ajabu,+ mashauri+ kutoka nyakati za kale, kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.+
25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu.+ Ninakutukuza,+ ninalisifu jina lako,+ kwa maana umetenda mambo ya ajabu,+ mashauri+ kutoka nyakati za kale, kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.+