Kutoka 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+ Zaburi 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitakupenda wewe, Ee Yehova nguvu zangu.+ Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ Wafilipi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yeye anayenipa nguvu.+
16 na kusema: “Kwa sababu kuna mkono dhidi ya kiti cha ufalme+ cha Yah,+ Yehova atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+