Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi akasema: “Sikilizeni kwa makini, Yuda wote nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Tazama, Yehova amewaambia ninyi hivi, ‘Msiogope+ wala msiwe na hofu kwa sababu ya umati huu mkubwa; kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • Zaburi 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela.

  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki